Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama la Aziz KiHili goli letu la kusawazisha kama la offside hivi.
Mna kazi kubwa..!! Na msipofanya marekebisho mapema tarehe 20 mtaoga 10Vyote vyetu hivyo mtani... 😆 😆 😆
Mlipigwa 5 usijisahaulisheMaboresho si ya kuwakabili vyura. Vyura ni wakufanyiwa maboresho wale?
Hadi sasa?Dakika ya 76
Mashujaa 1. Simba 1
Mashujaa wakiwa pungufu mchezaji mmoja
Usikate tamaaNaona hii sub itatutoa mazima....maana Kibu ndo mwenye mapafu ya mbwa...
Dakika ya ngapi?Watu Kama onana, Freddy Mbona kwa maono yangu Ni magarasa...
Muda wa kufanya aggressive striking with confidence wenyewe watabutua au kutoa pasi mfu..
Www hamuwezi kuvunja rekodi yetu ya kuwafunga 6...hiyo sahauni...hayo magoli kumi wkt huo wamesimama au?Mna kazi kubwa..!! Na msipofanya marekebisho mapema tarehe 20 mtaoga 10
Usirukeruke mtani, karibu online tarehe 20Www hamuwezi kuvunja rekodi yetu ya kuwafunga 6...hiyo sahauni...hayo magoli kumi wkt huo wamesimama au?
Dakika za majeruhiDakika ya ngapi?
Inaenda 87Dakika ya ngapi?
Hamna shida kwani nani kawaambia tunawaogopa?Usirukeruke mtani, karibu online tarehe 20
Ngapi ngapi?Dakika za majeruhi
1-2?Inaenda 87
Muda mzuri,Inaenda 87
1-1 vile vile...Ngapi ngapi?