Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuendelee kushika pumb* lazima kolo alie.1-1 mkuu, dk 54. Na simba inashambulia vizuri tu.
naomba link.Mashujaa Apate Ushindi Maana Admin Wao Wa Twitter Huwa Yupo Vizuri Sana
Kwa Simba hii tarehe 20 inakufa 7.
Linalogongwa na madogo😇😇 simba taifa kubwa 😜
Mwenyewe hautoshi, ita topolo mwenzio akushikie mpaka zinyofoke.Ngoja tuendelee kushika pumb* lazima kolo alie.
Binafsi nafarijika Sana kolo AKIPIGWA japo siwachukii.Sema labda nyau. Halafu agongwe nyau faraja iwe kwa mwingine? How?.
Ileile iliyowabanjua 5Kwa timu ipi hiyo..... ile iliyobanjuliwa na Mamelod?
Kwamba ww ni mgeni au?Sema labda nyau. Halafu agongwe nyau faraja iwe kwa mwingine? How?.
bado anawaza goli la zizi ki itakuwaKweli?
Mbona modes hawarekebishi?
Mbona mnahemukwa sana? Msijione nyie miamba sana...ubuntu boooothoooHujuma tupu, Simba ni mbovu mno, pira la kuungaunga lisilo na mipango! Mmefufuka baada ya kadi Nyekundu ya mchongo! Kama mashujaa "wanawafanya" basi tarehe 20 kuna aibu kubwa mbele yenu.
Ileile iliyowabanjua 5
Ukiona ww ndo umeona timu pinzani hawajaona basi jua hyo intuation yako ni feki...Hili goli letu la kusawazisha kama la offside hivi.
Acha kufananisha mamelod na vitu vya ajabu. Kwani zile 5 si mlifungwa na nyota wenu wote wakiwemo..!!??Kama imeshindwa kuwatoa Mamelod kuifunga Simba isahau
Hata kama sio feki ubao unasoma 1-1.Ukiona ww ndo umeona timu pinzani hawajaona basi jua hyo intuation yako ni feki...
Kwahyo nyie mlivyofungwa na belzoidad kule kwao mlikua vitu vya ajabu? Mbona mliwakandaAcha kufananisha mamelod na vitu vya ajabu. Kwani zile 5 si mlifungwa na nyota wenu wote wakiwemo..!!??