Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
HahahahaFaraja ipi hiyo? Kila mtu ashinde mechi zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaFaraja ipi hiyo? Kila mtu ashinde mechi zake
Mlimtuma aumize wachezaji wetu ili mpate mteremkoYaan kadi ya pili ya makapu lefa hakuwa Fair. 😊
Refa Ni mshabiki wa Simba Nini?? sijapenda japo Mimi Ni Simba
Piga hao wazee wa kangaHT: Mashujaa 1 Simba 0
Tulia kwamba ww ndo mwenye majibu pekea ako....mtaaibika muda si mrf..Hapana, anaendelea.
Kwa msaada wa red cardNilitaka uhakika mbona kama unajibu kwa masimango..so kwa akili yako hii mechi tunapoteza??.
Refa angemuonya tu hakukua na ulazima was kumpa kadi ya pili ya njanoMlimtuma aumize wachezaji wetu ili mpate mteremko
Hakustaili?Refa atakua ana jambo lake.
basi no way outMbona naona wapo kwenye 1st eleven?
Sio rahisi kupoteza.Nilitaka uhakika mbona kama unajibu kwa masimango..so kwa akili yako hii mechi tunapoteza??.
Utujulishe kipindi cha piliRefa angemuonya tu hakukua na ulazima was kumpa kadi ya pili ya njano
All in all
second half tunajipigia kiulaini mkuu for you information Mimi Ni timu mnyama
Ahahahahahahaaaa. Nacheka kama mazuri..!!Kila la heri mnyama...tupo pamoja mpaka utuue...
Hayomnayo nyie 5imbAhlyMnyama akipigwa leo itakua faraja sana kwa UtoMasandawane...
Zile 5 za Yanga zimewapa balaakama kawaida yao dakika 5 tu imooo
Sawa mkuuUtujulishe kipindi cha pili
😀😀 R.I.P ya umbumbumbu FC mapemaa..!!Kila la heri mnyama...tupo pamoja mpaka utuue...