Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mo- day, hi mechi ya leo ni dedication kwa Mo- boss mkubwa, anayetoa fedha za usajili kwa Try-again na genge lake wakasajili wao wanaokoto magalasha yaaliyoachwa na timu zinazoshuka daraja , wanapiga cha juu na kututangazia wachezaji usiku wa manane[masharti ya mganga]Mashujaa Vs Simba SC | Lake Tanganyika Stadium | CRDB Confederation Cup | Aprili 9, 2024