FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

FT: Mashujaa 1-1 Simba SC | | Simba waondolewa Shirikisho kwa matuta (6-5) | Tarehe 9/4/2024

Uongozi wa Club unatufelisha sana, matokeo ya hapa tutayopata iwapo tutashinda yatawafanya wajisahau.

Ni kama tulivyotolewa kwenye Club Bingwa tukashindwa kuzungumza mapungufu yetu kwasababu ya ule upepo wa Yanga na Mamelodi.

Viongozi wetu kama umegundua wanafurahia sana kuona moments kama hizo zinajitokeza kwa wingi ili kusudi watu washindwe kujadili mwenendo mbovu wa timu yao.
Ila hii hatupotezi
 
Mlioko karibu tupeni updates...
Dakika ya ngapi?
 
Tukifungwa hii mechi mi nitafurahi sana

Ndio alarm pekee ya kuamsha viongozi wazembe ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao.

Hata kuiangalia siiangalii, tufungwe tu
Na mukishinda utakuja kutamba kama kungwi ngomani.
 
Back
Top Bottom