Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faraja ipi hiyo? Kila mtu ashinde mechi zakeMnyama akipigwa leo itakua faraja sana kwa UtoMasandawane...
HahahhahhahhahaaFaraja ipi hiyo? Kila mtu ashinde mechi zake
Utowizard bado mapemaaa tulia kwanza.Kolowizard
Ukweli, siyo visingizio.Visingizio,mkumbuke hii haina marudiano
Ulikuwa hujui sioKwahyo akipigwa mtu leo anatoka...
Aibu sana Mzee huyu Benchika nae kama Robertinho kila siku wachezaji wale wale hakuna jipya uwanjani makosa ni yale yale yani timu haina mchezaji mwingine zaidi ya Kibu SaidooKwani mmesajili wachezaji 13 tuu?
Nilitaka uhakika mbona kama unajibu kwa masimango..so kwa akili yako hii mechi tunapoteza??.Ulikuwa hujui sio
Hangover Kwani Kuna Kitu Mmefanya Zaidi Ya Kutia Aibu.Tuna hangover ya club Bingwa...
Tunawawasha zakutosha hawaNyie kwa ratiba hyo mngeweza kufanya shoo shooo?
Tunawasubiri Tar 20 Nakukumbusha Leo Ni Tar 9Mnyama akipigwa leo itakua faraja sana kwa UtoMasandawane...
KabisaTunawawasha zakutosha hawa
Nitakua sipo kwny maeneo yenye network kw jinsi ratiba zilivyokaa ila Simba itawafunga siku hyo...Tunawasubiri Tar 20 Nakukumbusha Leo Ni Tar 10