Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Haya mambo siyo direct proportional..!!Kwahyo nyie mlivyofungwa na belzoidad kule kwao mlikua vitu vya ajabu? Mbona mliwakanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo siyo direct proportional..!!Kwahyo nyie mlivyofungwa na belzoidad kule kwao mlikua vitu vya ajabu? Mbona mliwakanda
Basi subirini....Haya mambo siyo direct proportional..!!
Mtani, tarehe 20 siyo mbali..!!Basi subirini....
Kwa mpira wa YANGA na timu ya YANGA kuna mahala ataihofia nyau?. Halafu nyie mashabiki wa mikia siku hizi kila mahala mawazo yenu yako kwa YANGA tu. Mkigongwa tatizo YANGA. Hata mkiwa na mechi ngumu,mawazo na michecheto yenu yote kwa YANGA. Wenyewe sasa YANGA wanaendelea na mipango yao ya mbele hukoKwamba ww ni mgeni au?
Sitakua online siku hyo...Mtani, tarehe 20 siyo mbali..!!
Bwna wee kwamba nyie mawazo yenu yako kwa Azam au? Vyura msitupangie...Kwa mpira wa YANGA na timu ya YANGA kuna mahala ataihofia nyau?. Halafu nyie mashabiki wa mikia siku hizi kila mahala mawazo yenu yako kwa YANGA tu. Mkigongwa tatizo YANGA. Hata mkiwa na mechi ngumu,mawazo na michecheto yenu yote kwa YANGA. Wenyewe sasa YANGA wanaendelea na mipango yao ya mbele huko
1-2Kuna hbr gan mjini kigoma
Kwanini sasa..!!?? Anyway, usipoonekana online, siku utakayoonekana tutaanza upya kama mechi imechezwa siku hiyo..!!Sitakua online siku hyo...
Vyura wasikutishe.Sitakua online siku hyo...
Yani nasikiliza hapa nasikitika kabisa..kuna magoli kama 4 nimeyasikia...Ila wanasimba, timu yetu inahitaji maboresho.
Yani nasikia hapa kwny kiredio..hivi wanashindwa kumuingiza yule chasambi? Maana nasikia magoli yaliyopotea mpk huruma...
Bora hata unasikiliza. Ungekuwa unatazama kama mimi usingeishia kusikitika tu.Yani nasikiliza hapa nasikitika kabisa..kuna magoli kama 4 nimeyasikia...
Mbona hueleweki sasa..!!?? Mara Kalpana nyura wasimtishe, mara 5imba inahitaji maboresho..!! Hueleweki.Ila wanasimba, timu yetu inahitaji maboresho.