FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

Alama tatu muhimu + clean sheet... baada ya Kufungwa na Uto, na sare mbili za mfululizo na Namungo & KMC.. Si mbaya..
 
Hawa Tabora hawa.
Wakikamia kama kwa Uto, watatusumbua sana
Hivi mechi nne za mwanzo ni za moto sana kwa kila mmoja. Tabora wakionesha ubora kama waliouonesha kwa Yanga. Itakuwa mechi ngumu sana kwa Simba
 
Mkuu mie sijaangalia kabisa nilikuwa nafuatilia updates zako TU hapa Jf, ukizingatia nilipania kweli kweli kucheki hii game ila ndio Kama hvyo tanesco wamezingua

But nahisi lazima match ingekuwa ngumu sababu mashujaa wamesajili dirisha dogo
Haijawa ngumu, Mashujaa hawakuwa na jipya, wana ulinzi mwepesi sana.

Kifupi Benchika anapaswa kufanya marekebisho
 
Hivi mechi nne za mwanzo ni za moto sana kwa kila mmoja. Tabora wakionesha ubora kama waliouonesha kwa Yanga. Itakuwa mechi ngumu sana kwa Simba
Yeah! leo Tumekosa nafasi Tatu za Wazi.
Yule Fred mapema alikuwa anajaza.
Akaja Saidoo na Ubinafsi wake.
Akaja tena Fred, mahali pakushuti anatoa Assist kwa kifupi forward zilikuwa hazina utulivu.

kuanzia Dakika ya 59 mashambulizi yakahamia upande wetu, beki ikawa inacheza kama wanamabusha.
Kwa kifupi hawa Mashujaa wangekuwa na walau straiker/forward mmoja aggressive kidogo sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine hapa
 
Una wasiwasi kama wangu!

Labda Sarr, Fred na Omar Jobe wanaweza kucatch up.

Hivi ni lini Chama aliwahi kuanzia Sub akaja na Impact kwenye timu?

Huyu mwamba akianzia benchi huwa anaadhirika kisaikolojia.
Mkuu club bingwa cha msingi ni kufunga galaxy halafu draw na Asec ,lakini timu haina makali kabisa,heri pia tuwe na first eleven inayojulikana hata kama kuna rotation basi tunajua sub ikifanyika matokeo yanakuwa mazuri, ila tusubiri tu bado hayupo Inonga,Ngoma na Kibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu club bingwa cha msingi ni kufunga galaxy halafu draw na Asec ,lakini timu haina makali kabisa,heri pia tuwe na first eleven inayojulikana hata kama kuna rotation basi tunajua sub ikifanyika matokeo yanakuwa mazuri, ila tusubiri tu bado hayupo Inonga,Ngoma na Kibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kibu yupo amecheza
 
Hawa MASHUJAA Walirudishe hili jina kwa Wenyewe walikolitoa....!

Haiwezekani Wewe ni Shujaa halafu mtu atoke huko alikotoka , Akutwange hapo hapo Nyumbani Kwako..!

Nyumbani Lzm mtu Ukaze Kama alivyokaza Kagera mpaka Marefa Waingilie Kati ndo droo inapatikana...Eboo
 
Screenshot_20240203_183054_X.jpg

Hongera mnyama
 
Itoshe tu kusema Taa Nesco ni Wakuu Ndugu yake
 
Back
Top Bottom