FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

Lolote baya ,maumivu ,uchungu na maluweluwe yawakute watu Fulani hivi wapuuzi ambao kupata ubingwa hadi wakafanye mauza mauza na ulozi na wakawachukue wachawi wao wanaoumwa toka nyumbani kwao hadi uwanjani ili wakawasaidie kuroga.Mabaya yawazidie uwanjani yaani kiufupi,watoke na majanga na balaa siku hii ya Leo.
 
Mashujaa kwa Kizungu ni Heroes! Nitashangaa kama watashindwa kumuua mnyama kama simba.! Tena huku wakiwa na silaha za moto.
😂😂 Mashujaa wanapumulia mashine.
Katika Mechi zao 12, wameshinda game mbili tu. Draw 3. Nyingine 7 wamefungwa.
Ndio waifunge Simba hii hii ya Benchika??
 
View attachment 2892593
All the Best Mnyama mkali.
Tukutane saa 10jioni kwa saa za Afrika Mashariki (EAT)

Simba ya Dar es Salaam itashuka Dimbani, Uwanja wa Ziwa Tanganyika kuwavaa wenyeji wao Mashujaa FC.

Simba kwenye msimamo wa Ligi yuko nafasi ya 3. Amecheza michezo 10.
Akiwa na Alama 23. Anayeongoza ligi Azam FC ana michezo 13 na Alama 31.

Simba anaingia kwenye mchezo huu wa 11 akiwa na hasira baada ya kutoa suluhu na KMC mchezo wake wa ligi uliopita.

Mashujaa wao wako Nafasi ya 15 out of 16. wakiwa na alama 9 tu kwa michezo 12.

#nguvumoja#

Kikosi cha Simba Kinachoanza
View attachment 2892924
All the Best Vijana wetu.
 
20240203_151418.jpg
 
Back
Top Bottom