View attachment 2892593
All the Best Mnyama mkali.
Tukutane saa 10jioni kwa saa za Afrika Mashariki (EAT)
Simba ya Dar es Salaam itashuka Dimbani, Uwanja wa Ziwa Tanganyika kuwavaa wenyeji wao Mashujaa FC.
Simba kwenye msimamo wa Ligi yuko nafasi ya 3. Amecheza michezo 10.
Akiwa na Alama 23. Anayeongoza ligi Azam FC ana michezo 13 na Alama 31.
Simba anaingia kwenye mchezo huu wa 11 akiwa na hasira baada ya kutoa suluhu na KMC mchezo wake wa ligi uliopita.
Mashujaa wao wako Nafasi ya 15 out of 16. wakiwa na alama 9 tu kwa michezo 12.
#nguvumoja#
Kikosi cha Simba Kinachoanza
View attachment 2892924