FT: Mashujaa FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika Stadium | 03.02.2024

Lolote baya ,maumivu ,uchungu na maluweluwe yawakute watu Fulani hivi wapuuzi ambao kupata ubingwa hadi wakafanye mauza mauza na ulozi na wakawachukue wachawi wao wanaoumwa toka nyumbani kwao hadi uwanjani ili wakawasaidie kuroga.Mabaya yawazidie uwanjani yaani kiufupi,watoke na majanga na balaa siku hii ya Leo.
 
Mashujaa kwa Kizungu ni Heroes! Nitashangaa kama watashindwa kumuua mnyama kama simba.! Tena huku wakiwa na silaha za moto.
😂😂 Mashujaa wanapumulia mashine.
Katika Mechi zao 12, wameshinda game mbili tu. Draw 3. Nyingine 7 wamefungwa.
Ndio waifunge Simba hii hii ya Benchika??
 
All the Best Vijana wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…