Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 33,643 Reaction score 36,090 Jun 25, 2022 #41 Mtoto halali na hela said: Mnapiga bomu mochwari Click to expand... Maneno ya waliofeli
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 33,643 Reaction score 36,090 Jun 25, 2022 #42 OKW BOBAN SUNZU said: Underdog safari hii CAF mtapigwa miti bila kinga Click to expand... Kwa hiyo nyie mlipigwa na kinga?
OKW BOBAN SUNZU said: Underdog safari hii CAF mtapigwa miti bila kinga Click to expand... Kwa hiyo nyie mlipigwa na kinga?
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Jun 25, 2022 #43 Ntulunga said: Goli la off side kabisa subilini mechi za CAF kama mtabebwa hivyo.Hovyo kabisa ligi la Bongo limeka kisiasa zaidi Click to expand... Mwanamikia fc tuliza mzuka,subirini ubingwa mwingine miaka Saba ijayo🤸
Ntulunga said: Goli la off side kabisa subilini mechi za CAF kama mtabebwa hivyo.Hovyo kabisa ligi la Bongo limeka kisiasa zaidi Click to expand... Mwanamikia fc tuliza mzuka,subirini ubingwa mwingine miaka Saba ijayo🤸
Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Jun 25, 2022 #44 Ntulunga said: Goli la off side kabisa subilini mechi za CAF kama mtabebwa hivyo.Hovyo kabisa ligi la Bongo limeka kisiasa zaidi Click to expand... Uto...wana nafasi ya kuweka rekodi huko CAF wakijipanga vizuri. Championship Scars
Ntulunga said: Goli la off side kabisa subilini mechi za CAF kama mtabebwa hivyo.Hovyo kabisa ligi la Bongo limeka kisiasa zaidi Click to expand... Uto...wana nafasi ya kuweka rekodi huko CAF wakijipanga vizuri. Championship Scars
park don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2017 Posts 4,923 Reaction score 7,048 Jun 25, 2022 #45 Ngapngap
Mzee Wa Kazi Chafu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2022 Posts 2,245 Reaction score 4,966 Jun 25, 2022 #46 "Utaona Msimu Ujao, Utaona Msimu Ujao" Hiyo Ndio Kauli Waliyobaki Nayo Saiv Wakiwa Wengi Ni Wekundu Wa Msimbazi, Akiwa Mmoja Je? [emoji1787]
"Utaona Msimu Ujao, Utaona Msimu Ujao" Hiyo Ndio Kauli Waliyobaki Nayo Saiv Wakiwa Wengi Ni Wekundu Wa Msimbazi, Akiwa Mmoja Je? [emoji1787]
mpiga vichwa JF-Expert Member Joined Oct 21, 2021 Posts 2,376 Reaction score 3,811 Jun 25, 2022 #47 Mzee Wa Kazi Chafu said: "Utaona Msimu Ujao, Utaona Msimu Ujao" Hiyo Ndio Kauli Waliyobaki Nayo Saiv Wakiwa Wengi Ni Wekundu Wa Msimbazi, Akiwa Mmoja Je? [emoji1787]View attachment 2271903 Click to expand... Hongera kwa ubingwa. Naona mnanyanyua twiga mwenye rangi nyekundu.
Mzee Wa Kazi Chafu said: "Utaona Msimu Ujao, Utaona Msimu Ujao" Hiyo Ndio Kauli Waliyobaki Nayo Saiv Wakiwa Wengi Ni Wekundu Wa Msimbazi, Akiwa Mmoja Je? [emoji1787]View attachment 2271903 Click to expand... Hongera kwa ubingwa. Naona mnanyanyua twiga mwenye rangi nyekundu.