XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Hii imejumuisha na mechi ya juzi against red arrows ?Si mnacheza nao tarehe 11 haraka za nini? Unasema mngeshinda tano wakati tokea ligi ianze ni mechi moja tu ndio mliipata ushindi wa goli zaidi ya moja.