Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Usiwadharau sana Hilal.Me namwambia mdau apo juu yaani uwo mpir anaochez mc alger ndo aje kwa mpk ivo tunamuadhibu nying mnoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwadharau sana Hilal.Me namwambia mdau apo juu yaani uwo mpir anaochez mc alger ndo aje kwa mpk ivo tunamuadhibu nying mnoo
Wangemchezea Yanga hivi kwenye zile mechi mbili pengine hali yao ingekuwa tofauti.Wajinga tu
Walikuwa wapi kufanya hivyo kwenye mechi zilizopita?
Hii ya Figisu bwanaTP wamekuwa Toilet Paper
Wapumbavu sana hao Mazembe na watapigwa wataishia kujisifia walimwag jasho jingi uwanjaniWajinga tu
Walikuwa wapi kufanya hivyo kwenye mechi zilizopita?
Wamekumbuka shuka kumekucha.mbona hawashindi sasa
akafanye nini uko robo fainali?Kwa mpira huu Hawa waarabu utopolo united anaenda robo fainali
Labda sare ya shule, hapo mazembe kifo hakiepukikiNa game yenyewe itaisha sare hiyo
Hivi ee?Hii ya Figisu bwana
Mwenye msimamo kundi la Yanga atupie
eeeh!,mkuu kuna mengine au yaleyale ya yanga kuaga mashindano?Point zikiisha itauza nyuma wewe