Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na game yenyewe itaisha sare hiyoUnazungumzia Yanga ya zamani siyo hii ya Gusa-Achia-Twenda kwao. TP Mazembe alitembezewa kichapo cha mbwa kokjo bila penalty. Hao MC Alger wanategema hiyo penalty tu.
Subiri utaona. Jifariji sasa hivi kabla moto haujawakaKuna mabadiliko yoyote ya mchezaji tangu mfungwe na
Azam 1
Tabora united 3-1
Al hilal 2
Mc alger 1
Tp mazembe 1-1
Ukiachana na israel mwenda?
Me namwambia mdau apo juu yaani uwo mpir anaochez mc alger ndo aje kwa mpk ivo tunamuadhibu nying mnooMc Alger imefanya makosa mengi sana halafu Tp Mazembe wanajikanyaga kanyaga tu kuanguka hovyo.
Subiri utaona. Jifariji sasa hivi kabla moto haujawaka
Wamezidiwa. Leo Mazembe wanaituma kweli.Mc Algier wanafanya uzembe
Tatizo kesho Yangasc akipigwa kesho anaaga mashindanoMe namwambia mdau apo juu yaani uwo mpir anaochez mc alger ndo aje kwa mpk ivo tunamuadhibu nying mnoo
Point zikiisha itauza nyuma wewetunauza point za mashindano ya CAF. tupo K/koo mtaa wa mchikichi/livingstone +255748854
Ali komwe alisema hiviMe namwambia mdau apo juu yaani uwo mpir anaochez mc alger ndo aje kwa mpk ivo tunamuadhibu nying mnoo
mbona hawashindi sasaMazembe ni wa moto kweli. Sio wale wa juzi.
Kuna nini kiongoziUkiwa hauna akili usini quote wewe msenge nini
Kati yako wewe na Tp Mazembe nani kapasuka nyingi hapo Algeria?Me namwambia mdau apo juu yaani uwo mpir anaochez mc alger ndo aje kwa mpk ivo tunamuadhibu nying mnoo
aje kwa nani??, hili nalo upewe kikokotoo?Me namwambia mdau apo juu yaani uwo mpir anaochez mc alger ndo aje kwa mpk ivo tunamuadhibu nying mnoo
Wajinga tuWamezidiwa. Leo Mazembe wanaituma kweli.