Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
😀😃😃😃😃Y
kuna mlemavu anaitwa Yanga anataka kufuzu hatua ya Makundi😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😃😃😃😃Y
kuna mlemavu anaitwa Yanga anataka kufuzu hatua ya Makundi😂
Sahihi kabisa. Uto inabidi atoke kabla ya mechi ya mwisho 🤣😂🤣Tukiweka utani pembeni, Mc Alger sio wakali, kwa fitina za kwa Mkapa, hawatatoka salama.
Uto mechi yenu ya Jumapili ni kama fainal kwenu
Nani hao 😃 😀Wengine huku dk ya 10 wamepigwa 2 😅 mnaobet mnakazi
Y
kuna mlemavu anaitwa Yanga anataka kufuzu hatua ya Makundi
Tulipowaambia Uto walitukanusha eti.vyovyote vile ila tp wachovu
Nani hao 😃 😀
Hii mech imeish make kunguru wa rubumbashi wamepanikiWanasakwa Nini hao maana ukipiga mpira kasi mazembe huwa hawajawahi kutoboa
Mkuu sasa kama uzi ameanzisha mtu wa Utopolo si atakuwa yuko busy na calculator kuliko huu uzi..
Wewe umebet, sio bureDortmund ila wamerudisha 1 mpira wa dk 12 una magoli ma3
Kama wanataka robo kwanini hawajashinda mechi hata moja hadi leo?
Huyo mchovu anaekugonga kila siku?Y
kuna mlemavu anaitwa Yanga anataka kufuzu hatua ya Makundi😂
Nimesema Hawa hawatoki na nipo kwenye kamati ya hiyo game hawatoki salama hao waarabuTukiweka utani pembeni, Mc Alger sio wakali, kwa fitina za kwa Mkapa, hawatatoka salama.
Uto mechi yenu ya Jumapili ni kama fainal kwenu
Inaonekan umebet ad game Leverkusen unafatiliaDortmund ila wamerudisha 1 mpira wa dk 12 una magoli ma3
Tuongelee ya leo mkuu, Kesho huijui.Achana na hesabu mixer propaganda tukutane mwezi wa 3 shika maneno yangu kwanza ibenge tarehe 12 anaweka kikosi b kashachukua milioni 100 zetu
Hii hujaitoa Cheka tu kweliWakifika tu kwenye anga la TZ shughuli Yao imeisha shika maneno yangu Hawa hawatoki
Mkuu, kwani si ulikiri unafurahi wanavyocheleweshwa.Sahihi kabisa. Uto inabidi atoke kabla ya mechi ya mwisho 🤣😂🤣
sisi batu ba kongo jo tumeahidi kugawa point kwa kila mutu aliebaki, ili bakujiitang'a young africans basiende kokkotte, babaki bongoMazembe msiwe wazembe mnatuangusha