Wazee wa calculator 🐼
wangejituma toka mwanzoHivi hawa Mazembe wanajituma hivi dk ya 88 hata wakipata sare inawapeleka wapi? Au wametumwa hawa?
Toka mwanzo wako moto basi tuwangejituma toka mwanzo
WaWe wa calculator 🐼View attachment 3198024
Hata ungekuwa wewe refa ungewasaidia watu wazembe kama Tp mechi zote wamecheza kimama eti leo ndio wanajifanya kukazaSema uzuri refa wao
Ibenge Tushazungumza nae 😁Tatizo kesho Yangasc akipigwa kesho anaaga mashindano