holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
msimu jana tulipangwa na akina nani?Timu kubwa mnatembea na calculator kama rozali au tasbih sijui. Mngepangwa na Al Ahly si mngewehuka kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msimu jana tulipangwa na akina nani?Timu kubwa mnatembea na calculator kama rozali au tasbih sijui. Mngepangwa na Al Ahly si mngewehuka kabisa?
TP Mazembe ya Tresor Mputu, Stopila Sunzu, Rainford Kalaba na baadae Mbwana Samatta uilinganishe na hii ya sasa ya Vijana wala urojo?Kila la heri friends of simba, TP MAZEMBE
View attachment 3197444
Hiyo sio hoja mkuu hatuwezi kuendelea kuishi zama zilizopita. Kumbukumbu hiyo hapo hamuitaki leteni yenu mnayoitaka.TP Mazembe ya Tresor Mputu, Stopila Sunzu, Rainford Kalaba na baadae Mbwana Samatta uilinganishe na hii ya sasa ya Vijana wala urojo?
Pamoja na mbwembwe hizi, sijui itakuaje kolo akishindwa kuvuka.Kimahesabu bado Yanga ana nafasi ya kupita.
Mahesabu yenyewe
View attachment 3197441
View attachment 3197443
View attachment 3197445
Utopolo ukijipa matumaini hewa [emoji1787]Utashangaa et Mazembe anashinda hii game
Enzi za advance, nikikaa mezani kusolve hesabu kulikua na Yale makaratasi makubwa kama gazeti la mzalendo , zikianza solviwa hesabu hapo aisee ni balaa ,asub hujui hata imefikaje...hako kahesabu kwenye karatasi yako nilikua sina hata haja ya kuhangaika navyo.MC Alger tuko pamojaView attachment 3197436
Kimahesabu bado Yanga ana nafasi ya kupita.
Mahesabu yenyewe
View attachment 3197441
View attachment 3197443
View attachment 3197445
Ndoto ya mchana hiiYani Tp Mazembe wawafunge Mc hahahahha nafwaaaa...
Leo hii utopolo wanawaombea Mazembe hahah ila mpira nyokwe...
Miaka hiyo TP Mazembe wa moto kweli kweli. Siyo hawa madogo baada ya kuzuiwa kusajili. Hii ya sasa Yanga ina uwezo wa kuipiga hata 5. Imechoka mwaka huu angalia kwenye kundi ilikuwa ya Ngapi. Kwa sasa nadhani ndo team ambayo imepigwa matches nyingi kwenye group.Kila la heri friends of simba, TP MAZEMBE
View attachment 3197444
Ndio mpira ulivyo hata Yanga tulitokea huko kwenye vipigo heavy.Miaka hiyo TP Mazembe wa moto kweli kweli. Siyo hawa madogo baada ya kuzuiwa kusajili. Hii ya sasa Yanga ina uwezo wa kuipiga hata 5. Imechoka mwaka huu angalia kwenye kundi ilikuwa ya Ngapi. Kwa sasa nadhani ndo team ambayo imepigwa matches nyingi kwenye group.
Hakuna jambo sahihi kwa Yanga kama ku focus kushinda mechi zote mbili kuliko kuombea fulani afungwe. Tp Mazembe akishinda leo bado sio jambo zuri kwa Yanga maana watakuwa wanafikisha point 5 na mechi ya mwisho ni dhidi ya Ibenge kwenye ardhi ya kwao Congo. Kuna uwezekano Tp Mazembe akashinda tena dhidi ya Al Hilal na kufikisha point 8Yani Tp Mazembe wawafunge Mc hahahahha nafwaaaa...
Leo hii utopolo wanawaombea Mazembe hahah ila mpira nyokwe...
Kila la kheri TP MazembeKundi A katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo kuna mchezo muhimu sana.
MC Alger Vs TP Mazembe pale katika dimba la July 5, kuanzia Saa 4:00 Usiku kwa Saa za Afrika Mashariki.
Mchezo huu ni muhimu sana kwa hatima ya Yanga katika kusonga mbele.
Ikumbukwe MC Alger yupo nafasi ya pili akiwa na point 5 huku Mazembe akiwa na point 2 nafasi ya nne.
Matokeo ya leo yataleta athari kubwa kuelekea mchezo wa Al Hilal Vs Yanga hapo jumapili.
Azam Sports 1HD watakuwa live, wale wa kustream pitia hapa www.fawanews.com
Ikifika saa 6 usiku wa Leo watalia sanaMwaka huu Makolo mtaweweseka sana.