Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Wacha weeMwaka huu Makolo mtaweweseka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeMwaka huu Makolo mtaweweseka sana.
Ukizijua hisabati na upande wa physics ukazijua Kinematic Equations, Dynamic Equations, Energy and Work, Wave na Oscillation Equations na Electricity na Magne, mbona kila kitu kip clear abisa hapo?Kimahesabu bado Yanga ana nafasi ya kupita.
Mahesabu yenyewe
View attachment 3197441
View attachment 3197443
View attachment 3197445
Duh! Umenikumbusha mbali sana.Kimahesabu bado Yanga ana nafasi ya kupita.
Mahesabu yenyewe
View attachment 3197441
View attachment 3197443
View attachment 3197445
Sijui ni kwanini wana Yanga wanaiombea Tp Mazembe ushindi wakati ushindi kea Tp Mazembe itafufua matumaini kwao kushinda dhidi ya Al HilalKila la kheri chama langu Tout Pouisant Mazembe[emoji1665][emoji1665] 🤍[emoji1665][emoji1665] [emoji246] Daima Mbele Nyuma Mwiko 🤍🤍🤍
Jibu lako hiliHivi Azam watqionyesha hii game au
Wakishinda itamchelewesha kidogo MC algers ambaye ndiye tishio na ndiye tunakutana naye final match. Mazembe akishinda zote anakuwa na 8 Yanga tukishinda Zote tunakuwa na 10 au hata tukidraw tunakuwa sawa points na TP Mazembe ila tunapita kwa advantage ya ushindi juu yao.Sijui ni kwanini wana Yanga wanaiombea Tp Mazembe ushindi wakati ushindi kea Tp Mazembe itafufua matumaini kwao kushinda dhidi ya Al Hilal
SureHakuna jambo sahihi kwa Yanga kama ku focus kushinda mechi zote mbili kuliko kuombea fulani afungwe. Tp Mazembe akishinda leo bado sio jambo zuri kwa Yanga maana watakuwa wanafikisha point 5 na mechi ya mwisho ni dhidi ya Ibenge kwenye ardhi ya kwao Congo. Kuna uwezekano Tp Mazembe akashinda tena dhidi ya Al Hilal na kufikisha point 8
Wakubeti Tipwisa Mazembe ana Odds 17✅ nadhani ni hela ya nje nje hii. Ukiogopa mpe na handicap na goli zake mbili ina 3.0++. Mambo ni Shwaaaaa
Mda wa kazi vifaa viko tayariKimahesabu bado Yanga ana nafasi ya kupita.
Mahesabu yenyewe
View attachment 3197441
View attachment 3197443
View attachment 3197445
Kweli kabisaHakuna jambo sahihi kwa Yanga kama ku focus kushinda mechi zote mbili kuliko kuombea fulani afungwe. Tp Mazembe akishinda leo bado sio jambo zuri kwa Yanga maana watakuwa wanafikisha point 5 na mechi ya mwisho ni dhidi ya Ibenge kwenye ardhi ya kwao Congo. Kuna uwezekano Tp Mazembe akashinda tena dhidi ya Al Hilal na kufikisha point 8
Nilikuwa napenda logarithms lakini sijawahi kujua application yake kwenye maisha ya kawaidaKimahesabu bado Yanga ana nafasi ya kupita.
Mahesabu yenyewe
View attachment 3197441
View attachment 3197443
View attachment 3197445
Thank you very muchJibu lako hiliView attachment 3197737
Naona uko na scientific calculator yakoKila la heri TP Mazembe
Unatumia visoda au calculator?TP win
Al Hilal win
Mechi za mwisho
Yanga win
TP draw
Yanga anafuzu na pointi 7