Hao manyoka ni kuachana naoShangaa ww timu bora zote zipo club bingwa
Haijawahi tokea wakavunja hii rekodi
Hapo sasaUnashauri simba ijifungie bunju au?
Umbumbumbu unakusumbua unashindwa ku deal na content una deal na errorsRas Simba anakuhusu ni losers sio loosers.Andika kiswahili,kiingereza maji marefu kwako.
Mijitu ya hovyo sana, ushindi dhidi ya Singida Big Stars hakuna aliyemtukana kocha Robertinho wala uongozi zaidi ya kutamba na kukenua meno. Leo kufungwa goli tu la kutanguliwa lawama na matusi chungu nzima ilihali mpira bado unaendelea.
Watu wa hivi hawafai kabisa.