FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

FT || Mechi ya Kirafiki | Simba 1 Vs 1 Al Hilal | Estadio de Benjamin Mkapa

Kuna shabiki wa Yanga alikuwa anaiombea ushindi Al Hilal.
Yanga anaigopa sana Al Hilal. Hawezi kuomba mechi za kirafiki ngumu kama hizi.
Anamuogopa aliyempeleka Losers League.
 
Kwani hawa si ndio mabwana zenu.Ndio maana mnacheza Losers League. Ukiwa kichaa kumbukumbu inakuwa sio kipaumbele unajiropokea tu.
Nyinyi watoto mliolelewa na single mothers mnashida sana kitu kidogo tu matusi
 
Na nyie wangeni mtafika mbali sana. Si unatuona sisi?
Tunaenda kula bata Dubai & Misri nyie mnabaki hapa bongo kupiga kambi.
Baada ya msimu huu kuisha wa league na Club bingwa wachezaji wanatakiwa wakale Bata Uingereza au Brazil ili wafaidi matunda yao ya Club bingwa.
Huko wa loosers ulikamatwa unawanga ili iweje?
 
Back
Top Bottom