Utopolo wanajipima na Mbuni ya Arusha.Ndiyo! Mechi kama hizi Yanga anaziogopa sana.
Simba ipo club bingwa
Yanga ipo shirikisho (Mashindano ya timu zilizoshindwa club bingwa)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utopolo wanajipima na Mbuni ya Arusha.Ndiyo! Mechi kama hizi Yanga anaziogopa sana.
Simba ipo club bingwa
Yanga ipo shirikisho (Mashindano ya timu zilizoshindwa club bingwa)
Vipi kiwango cha Fabrice Ngoma unakionaje maana sijaangalia hii gameNaaam mpira umekwishaa
Una sifa zote za utopoloKwani Simba SC baba ako, acha ujinga mihemko ya mpira ni ushamba, unaijua Simba SC kuliko mimi wewe?
Kuna shabiki wa Yanga alikuwa anaiombea ushindi Al Hilal.Unaumia nini? Kila mtu afanye kivyake
Jamaa anakata upepo mapema kaona isiwe shida kajifanya kaumia ili akapumzike.Ye ndiye aliyeomba kutoka kwasababu alijiona amepwaya
Anamuogopa aliyempeleka Losers League.Kuna shabiki wa Yanga alikuwa anaiombea ushindi Al Hilal.
Yanga anaigopa sana Al Hilal. Hawezi kuomba mechi za kirafiki ngumu kama hizi.
Nyinyi watoto mliolelewa na single mothers mnashida sana kitu kidogo tu matusiKwani hawa si ndio mabwana zenu.Ndio maana mnacheza Losers League. Ukiwa kichaa kumbukumbu inakuwa sio kipaumbele unajiropokea tu.
Simba ya mikataba....Hii ndio Simba ya kimataifa?
Huko wa loosers ulikamatwa unawanga ili iweje?Ndiyo! Mechi kama hizi Yanga anaziogopa sana.
Simba ipo club bingwa
Yanga ipo shirikisho (Mashindano ya timu zilizoshindwa club bingwa)
Yanga wanatamani timu yao ingecheza leoSimba ya mikataba....
Minding your own business ni kitu kisha washida viherehere FCKuna shabiki wa Yanga alikuwa anaiombea ushindi Al Hilal.
Yanga anaigopa sana Al Hilal. Hawezi kuomba mechi za kirafiki ngumu kama hizi.
Timu ya mawakili uchwaraSimba ya mikataba....
Huko wa loosers ulikamatwa unawanga ili iweje?
Ras Simba anakuhusu ni losers sio loosers.Andika kiswahili,kiingereza maji marefu kwako.Huko wa loosers ulikamatwa unawanga ili iweje?
Hii ndio Simba ya kimataifa?
Simba hamna kitu hali mbaya sana msimu huu tunamuweka Okrah Benchi ni aibu sana
Mpira mwingi sanaaaSimba wacha kabisa
Usichezee nafasi yako ya kuishabikia hii timu