Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Game kali Sana,mwarabu bado kidogo apelekewe moto.
Mechi iishe draw,yanga
---
Mchezaji wa Al Ahly El Shahat aisaidia timu yake kushinda bao 1-0 ugenini dhidi ya Mabingwa wa Ghana Madeama baada ya kufunga bao pekee la ushindi katika dakika ya 48 ya mchezo.
Kwa ushindi huu Al Ahly amejihakikishia kufuzu hatua ya makundi kwa kujikita kileleni mwa Kundi lao lililo na Yanga ya Tanzania na CR Belouzidad ya Algeria pamoja na Madeama ya Ghana.
Kesho itakuwa ni Yanga vs CR Belouzidad kunako dimba la Benjamini Mkapa Dar es Salaam, Tanzania.
Nini maoni yako kuhusu kundi hili?
Mechi iishe draw,yanga
---
Kwa ushindi huu Al Ahly amejihakikishia kufuzu hatua ya makundi kwa kujikita kileleni mwa Kundi lao lililo na Yanga ya Tanzania na CR Belouzidad ya Algeria pamoja na Madeama ya Ghana.
Kesho itakuwa ni Yanga vs CR Belouzidad kunako dimba la Benjamini Mkapa Dar es Salaam, Tanzania.
Nini maoni yako kuhusu kundi hili?