FT: Medeama 0 - 1 Al ahly | CAF CL | 23/02/2024

FT: Medeama 0 - 1 Al ahly | CAF CL | 23/02/2024

Kundi limeshajulikana kupitia matokeo haya..., Yanga anashida kesho anakuwa na point 8, anaenda Misri kutafuta point moja anakuwa nazo 9.

Al Ahly
Yanga
 
Kiungwana ungetumia muda huu kueleza faida unaziona
Wewe na yeye wote ni mbumbu ndio maana huwezi ona hiyo faida. Aly Ahly mpaka hapa ameshafuzu... Mechi inayofuata Hana uzito nayo tofauti na ambavyo asingepata matokeo!!.
 
Bado hajafuzu. Bali ana asilimia kubwa ya kufuzu.
Wewe na yeye wote ni mbumbu ndio maana huwezi ona hiyo faida. Aly Ahly mpaka hapa ameshafuzu... Mechi inayofuata Hana uzito nayo tofauti na ambavyo asingepata matokeo!!.
 
Wewe na yeye wote ni mbumbu ndio maana huwezi ona hiyo faida. Aly Ahly mpaka hapa ameshafuzu... Mechi inayofuata Hana uzito nayo tofauti na ambavyo asingepata matokeo!!.
Uenda kichwa chako kinatumika kufugia nywele tu kama sio kuvishwa wigi. Mbali na kufuzu, timu inataka kujihakikishia inashika nafasi ya kwanza, regardless matokeo ya kesho, mechi ya mwisho kila timu itabidi ikaze kwa ajili ya kutafuta kuongoza kundi. Kiufupi, tabu bado iko palepale
 
Uenda kichwa chako kinatumika kufugia nywele tu kama sio kuvishwa wigi. Mbali na kufuzu, timu inataka kujihakikishia inashika nafasi ya kwanza, regardless matokeo ya kesho, mechi ya mwisho kila timu itabidi ikaze kwa ajili ya kutafuta kuongoza kundi. Kiufupi, tabu bado iko palepale
Hizo hesabu nimekwambia ni za mbumbu wenye akili focus yao ipo kupata ushindi kwanza... Kwahiyo akufunga Gori 1 na akaenda kupata draw misr hafuzu?. Ivory ametokea best looser kanyanyua kwapa Leo nafasi ya pili?.
 
Ila yote kwa yote mpira wa Afrika ni wa kiwango cha chini sana hasa hasa ktk ngazi ya vilabu. Ukiangalia hivi vilabu vya Afrika vinavyocheza na ukilinganisha na Ulaya yaani tofauti ni kama mbingu na nchi.

Hivi vilabu vya kiafrika hakuna hata moja inayoweza kucheza na vile vilabu vya Ulaya, vinaweza kukogeshwa magoli kama mvua.

Wachezaji wa kiafrika hawana kasi, stamina wala hawachezi kimbinu ni kukimbizana tu na mipira kama vichaa. Vilabu vya Afrika vya enzi zile kama Al Ahli, Canon Yaounde, Union Douala, Hafia Fc, Hearts of Oak, Asante, Asec Abidjan, Africa Sport, Asante Kotoko, Ibadan Shooting Stars, Enugu Rangers, AS Vita, TP Mazembe, Zamalek nk vilikuwa na viwango vya hali ya juu sana kimpira ukilinganisha na hivi vilabu vya sasa.
 
Ameshafuzu tiali!
Yanga vs Belouizdad ikiisha 0-0. Wanakuwa na point 6 kila mmoja.

Belouizdad akishinda goli nyingi mechi na Medeama anafikisha 9. Head to head na Ahly wako sawa

Yanga akimfunga Ahly mechi ya mwisho Yanga anakuwana 9. Head to head na Ahly Yanga atakuwa amemzidi Ahly H2H

KWA hiyo ipo option ya Ahly kutokufuzu.

Hata page za CAF waliofuzu mpaka sasa ni timu mbili tu. Asec na Petro atletico
 
Yanga vs Belouizdad ikiisha 0-0. Wanakuwa na point 6 kila mmoja.

Belouizdad akishinda goli nyingi mechi na Medeama anafikisha 9. Head to head na Ahly wako sawa

Yanga akimfunga Ahly mechi ya mwisho Yanga anakuwana 9. Head to head na Ahly Yanga atakuwa amemzidi Ahly H2H

KWA hiyo ipo option ya Ahly kutokufuzu.

Hata page za CAF waliofuzu mpaka sasa ni timu mbili tu. Asec na Petro atletico
Al Ahly atasubiri kesho matokeo ya Yanga na Belouizdad
 
Ila yote kwa yote mpira wa Afrika ni wa kiwango cha chini sana hasa hasa ktk ngazi ya vilabu. Ukiangalia hivi vilabu vya Afrika vinavyocheza na ukilinganisha na Ulaya yaani tofauti ni kama mbingu na nchi.

Hivi vilabu vya kiafrika hakuna hata moja inayoweza kucheza na vile vilabu vya Ulaya, vinaweza kukogeshwa magoli kama mvua.

Wachezaji wa kiafrika hawana kasi, stamina wala hawachezi kimbinu ni kukimbizana tu na mipira kama vichaa. Vilabu vya Afrika vya enzi zile kama Al Ahli, Canon Yaounde, Union Douala, Hafia Fc, Hearts of Oak, Asante, Asec Abidjan, Africa Sport, Asante Kotoko, Ibadan Shooting Stars, Enugu Rangers, AS Vita, TP Mazembe, Zamalek nk vilikuwa na viwango vya hali ya juu sana kimpira ukilinganisha na hivi vilabu vya sasa.

Mkuu mpira wa Afrika upogo hivyo hivyo tu miaka yote
Kuna improvement ndogo sana

Sema kwasababu sasa hivi hadi sisi tunaingia na kushindana tumeyazoe na kuanza kuona ya kawaida tofauti na zamani kuyaona kwenye tv live ilikua mtihani

Afcon yenyewe imeboreka kwenye maamuzi tu lakini ki mpira ni vurugu mechi uwanjani utafikiri hakuna wachezaji wa kubwa wa kidunia
 
Back
Top Bottom