Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Vipi mmeua?Inamaana Salah baadae kwenye game la Arsenal vs Liverpool hayupo. Thanks Gunners tunaua.
Akikujibu nitagVipi mmeua?
CCM starsWapigwe nyingi hao stars
Tarryn anaujua kumbe bora hayo majamaa ya kukodi hawa wa kwetu hamna kituLile zungu winga la Stars liko safi sana.
Ndio anayecheza mchezo wa kisasa sana.
Hata angekuwepo angefanya nini? Bora Staz ya Mwijaku imepigwa na haijanichania mkekaBado nahoji Clement mzinze kukosekana kwenye kikosi. Nini sababu?
Jamaa anaujua mpira akipata wa kucheza naye mwenye speed daaah. Itanoga sana.Lile zungu winga la Stars liko safi sana.
Ndio anayecheza mchezo wa kisasa sana.
Nyie bana...acheni moyo mgumuWapigwe nyingi hao stars
Tanzania ni kinyeo cha fungo, mtu akijua kuzungumza kiswahili tu, basi tayari ni mtanzania.taifa lako
Upo sahihi , reply imeonyesha hakukuwa na contact yoyote bacca alicheza Mpira mchezaji wa misri akajiangusha Kama kawaida Yao Hata var hakuna.Hii penalt kiukweli wametuonea, hakuna faulu iliyofanyika, beki amecheza mpira!
KIKOSI CHA STARS
Aishi Manula
Lusajo mwaikenda
Shabalala
Mwamnyeto
Ibrahim bacca
Himid mao
Mudathir yahya
Feisal salum
Ben starkie
Samatta
Msuva
Sent using Jamii Forums mobile app