Mupo kwenye hali mbaya sana.Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
Kiko wapiMgunda hii game anashinda
Vipi hukoMechi ni saaa 12, Simba ndio King of Social Media relax uzi wa simba unaenda hadi posts 800+. This is Simba brother.
Uwezo uppo, uzi tunajaza na Uwanja tunajaza bila Ticket za Burre.
Kushinda njaaTutashinda hii
Hatukai mtaa mmojaHalafu nimekumbuka hivi wale mashabiki wengine wako wapi siku hizi?
Wafanye usajili waache mambo mengitatzo ni moja2...mo anatoa hela za usajili halaf znaishia kwenye mifko ya vidudu mtu...matokeo yake wanatuletea wachezaji ambao hawana hata sifa za kuitwa wachezaji.....huu ni ujinga wa kiwango cha lami
Jukwaa la michezo hajapitaUkimuona cocastic mwambie namsalimia Mtani. 🤸♀️🤸♀️
Mwaka huu tuKila timu ikifikiria pointi zake kwa 5imbaView attachment 2977690
Hao Azam mmeshacheza nao? Na wana hasira kwenye lile Bonanza la muungano mliwafunga.Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
dawa kamili ya ugonjwa wa simba ni mo kuachia team...tunahtaji wawekezaji wengine maana naona kama mo ameshindwa kuisimamia na kuiongoza simba...Wafanye usajili waache mambo mengi
KuhusuVipi huko
Mo hawezi kuachia bango lake la kutangazia mo energydawa kamili ya ugonjwa wa simba ni mo kuachia team...tunahtaji wawekezaji wengine maana naona kama mo ameshindwa kuisimamia na kuiongoza simba...
Anashinda njaaMgunda hii game anashinda
Mechi inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa inayoburuza mkia kisha anafuatia Tabora. Baada ya Mtibwa kupapatuana na Simba anakuja kuangukia kwa Azam kabla ya kukutana na vita ya wenyewe kwa wenyewe tarehe 9. Nadhani mpaka tarehe 9 tutaanza kupata mwanga wa vita nafasi ya pili ipoje.Tuna viporo Viwili,
Point 47. Nafasi ya Tatu.
Azam ana point 54, Nafasi ya pili
Tukishinda hivyo viwili Tunakuwa na Points 53.
Sasa sisi tunabaki kuwaombea Azam dua wapoteze mchezo ili tuweze kucheza CAF CL
Raha sana....Mechi inayofuata kwa Simba ni dhidi ya Mtibwa inayoburuza mkia kisha anafuatia Tabora. Baada ya Mtibwa kupapatuana na Simba anakuja kuangukia kwa Azam kabla ya kukutana na vita ya wenyewe kwa wenyewe tarehe 9. Nadhani mpaka tarehe 9 tutaanza kupata mwanga wa vita nafasi ya pili ipoje.
basi aache kubania hela..atafte wachezaji wenye viwango sio kuokoteleza ovyo..Mo hawezi kuachia bango lake la kutangazia mo energy
Kabisadawa kamili ya ugonjwa wa simba ni mo kuachia team...tunahtaji wawekezaji wengine maana naona kama mo ameshindwa kuisimamia na kuiongoza simba...