Mr consolation
Senior Member
- Oct 18, 2023
- 139
- 92
Ila jitahidi uwe unaandika vizuriSimba leo lazma 2shende bn...naona wanataka kutuzoea xaxa
Timu MangungoTimu ipi
Ipo ligi ipiTimu Mangungo
Ligi kuu MalawiIpo ligi ipi
Nimezima na jiko kabisa ntapika baadae. ππNdio mkapike sasa hapa hapawafai tena
AfadhaliLigi kuu Malawi
Ngoja m bebe ajeNimezima na jiko kabisa ntapika baadae. ππ
Hali ilivyo hata umeweza kuendelea kweli Mtani. π€ͺNipo na Eng tunashughulikia suala la Lazarus Kambole
hahahha aisee hii sii ndio mnaita kafika na mie nimefika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo mabao yamefukuzana km mwizi na mwenye Mali. Khaaah
Unafatilia mechi ya Simba?Nimezima na jiko kabisa ntapika baadae. ππ
πππNgoja m bebe aje