Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
๐ธ๐ธbhana mnawezaje kujifananisha na hiyo miamba ilhali hamna hata fellows 10k kwenye channels ya whatsapp?Hii yanga kama man ciry
Wazee wenye mahaba na Simba kuliko mahaba yenyewe yalivyo endeleeni kumobserve mnyama...
Hahaha hahaha vichekesho vyako kingkong tunabonyeza wapi?.Hahahahaha Mechi ya Mnyama ni Kama kuangalia Ze Comedy Show ,Watu Baki au Cheka tu maana ukisikiliza Spika Ahmed Ally na kilichotekea yaani full Vichekesho.
Mechi za Yanga sisi huwa tunajua matokeo kwahiyo hata tusipoangalia tunajua kwamba lazima mtu ale 5 hamna hamna 4 au 3.
Wachaa hayaMaua eb acha zako bn๐คฃ๐คฃ
Yanga, Real Madrid & Manchester united hapo toeni kila neno baya lkn sibadili maamuzi
Asante sana mtani wanguKila la heri mtani...
Marefa wawe wanaongeza dk hata 10 watu waburudikeHadi Musonda na Yao Yao kama sijakosea Mkuu.
Kabisa Points tatu ndo za muhimu.
Niliona hata kule Misri ๐ธ๐ธ walimpiga mwarabu 5 bila ๐ฌ๐ฌMkuu yanga ya sasa ni ile ya bakuli ,timu yeyote ikija kichwa kichwa inagongwa 5 hamna hamna 4 au 3.
Hahaha hahaha vichekesho vyako kingkong tunabonyeza wapi?.
Niache tuu huku tuchangamshane...tumeitaka wenyewe...Mudy anawanyima furaha ,aweke mzigo msajili wachezaji wazuri au kama vipi karibu uwe mwananchi.
Kama November 5 vileBomu mortuary
Basi chukueni kombe la WhatsApp channel.๐ธ๐ธbhana mnawezaje kujifananisha na hiyo miamba ilhali hamna hata fellows 10k kwenye channels ya whatsapp?
Hamna uwanja, hamna ndege, hamna hela, halafu unajifananisha na man city kisa mmemfunga mkulima wa korosho ๐๐๐๐ธ๐ธ๐ธ
Ulitisha sana. Niliiona post.Asante mungu nimetabili haya matokeo kwenye post yangu namba 109
Niliona hata kule Misri ๐ธ๐ธ walimpiga mwarabu 5 bila ๐ฌ๐ฌ
Ni wameumia amaNasikia Aucho Diara na Pacome hawatakuwepo Leo anyway ila ushindi lazima
Unamfukuzaje na anawamilikiSimba tukitaka kushinda tuandamane kumfukuza MO Dewji.
Na Freddy wake.
๐ธ๐ธEndeleeni kujifananisha na hiyo miamba ya soka la ukweli, ulivyo fyatu unadhani team kuwa na channel whatsapp ni upuuzi, hivi kuwa huko timu zote (toa ๐ธ๐ธ) nguli duniani zinapimana ubavu huko whatsapp channels?Basi chukueni kombe la WhatsApp channel.
Hongereni