Sisi sio wachawi kama nyieNyie mliofika tayari kwenye aibu mlikuaga mnatumia nini
Ila mpo kwenye aibu, ilikuaje sasaSisi sio wachawi kama nyie
KolowizardAmbaye ni mmoja wa Basha zako Tukuka.
Utakuja kuniunga mkono siku moja.Ni mawazo ya [emoji196][emoji196] wa jangwani haya.
Endeleeni kuhangaika kama kuku wanaotaka kutaga yai.
Ona hii kima kwa hio followers ndio wanacheza![emoji196][emoji196]bhana mnawezaje kujifananisha na hiyo miamba ilhali hamna hata fellows 10k kwenye channels ya whatsapp?
Hamna uwanja, hamna ndege, hamna hela, halafu unajifananisha na man city kisa mmemfunga mkulima wa korosho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196]
Nakuona nakuona πΈbado umezama matopeni πΈwahed weyeOna hii kima kwa hio followers ndio wanacheza!
Hamia kwa πΈ panakufaa huko, Simba ina wenyewe bwashee waachie Simba yao.Utakuja kuniunga mkono siku moja.
Wenzetu wanashinda sisi tunaishia kusimangwa tu
.
"Nimewanunua napata hasara, anasajiriwa Freddy"
Na kesho tunafungwa na Coaster Unioni.
Ulishtuka wapi wewe ulikuwepo tangu dakika ya kwanza.....mechi ya yanga ni kubwa mno inatizamwa na watu bilioni we nani hadi uikose π€£π€£π€£Nimeshtuka Usiku huu.
Mnajua kuloga sana.
Mwisho wa majini ni aibu
Kwanini ile mechi yenu mlikuwa hamtaki kibendere kishikwe? Ndo mliweka pale manyanga???Sisi sio wachawi kama nyie
Endeleeni kujivunia WhatsApp groupNakuona nakuona [emoji196]bado umezama matopeni [emoji196]wahed weye
Endeleeni kujivunia kuongoza NBCPL ππEndeleeni kujivunia WhatsApp group
Na Wanachanganyikiwa Kweli Kweli
πππMimi hunikosi...iwe ni utowizard au simba.
Labda niwe nimetoka nje ya mji hakuna network...
Naona kichwa yako imezidi kuvimba kwa uchafu wa magoli.. π π π .