Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
KispikaHivi aliyewapa mabichwa namungo ni nani asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KispikaHivi aliyewapa mabichwa namungo ni nani asee
Simba tangazeni sabuni za MO.
Ndio kazi yenu.
MO arudishe hasara zake.
Dunia ya Leo ni ya
Mipe Nikupe.
Umepatia hongeraHii game yanga inashinda goli tatu kwa moja(yanga 3 namungo 1)
Kuwa muwazi tatu za kimasai za chap unaweza kuzihimili ?Nikuulize ww
Mimi hunikosi...iwe ni utowizard au simba.Karibu Tena Mtani.
Mshana Jr na wenzieHivi aliyewapa mabichwa hawa namungo ni nani
we noma mkuu, kanji kapona kwel?Yanga 3-1 Namungo!!!###ThridiKlozdi##
Umepita mule mule mzee baba.Hii game yanga inashinda goli tatu kwa moja(yanga 3 namungo 1)
Nipo swahiba 😀,katecno kenyewe ndio nilikua natumia kuangalia mpira,makolo kama nawaona wanavyoumia 😀
Nikuulize ww unahimili ngapi?Kuwa muwazi tatu za kimasai za chap unaweza kuzihimili ?
Ndio broDogo umeamini?
Wee Sheeeeeeennndwwwaaaaa!!!🤠🤠🤠😁!Mbelee mwikooo...
Mbona unajitoa ufahamu mtoto wa kike au umedata. Funguka kama kazi unaiwezaNikuulize ww unahimili ngapi?
Huyu manzi huwa anafosi mpira lakini hajui..,ushabiki umemzidi.Kwani kipindi cha pili sio sehemu ya mchezo.. hivi ukiwa kolo unakuwaje?