Naitakia ushindi timu ya wananchi.
Kama Azzam walivyowapa bahasha kina Manura na Erasto Nyoni.Hawa wachezaji maduka ya yanga ilibidi watokee benchi.Yaani Saido na mahadhi wanarukaruka tu uwanjani au ndio miamala ineshafanya kazi?
Sawaa..Peeeenaaati
Yanga wanapata penati