Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Nilisema mapema kabisaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii game Ihefu anashinda 2-1.... Yanga akishinda mniite [emoji304] Nimekaa [emoji117]🪑
KabisaImeisha hiyooo
Become bi ten 😂😂Unbe10
🤣🤣Unbeatean ya babaako?
NdiyoOverconfidence imetuponza.
Sio hamkutoa helaOverconfidence imetuponza.
Endelea kuongea Azam kawabakiza 3 tuNdio katoa bahasha, hata mechi ya juzi Azam na Coastal ilikua sawa tuu
Hayo ni maneno ya kuchombeza tu. Ila ukweli ndiyo huo. Hata kama Yanga ingekuwa unbeaten kwa mechi 100, bado ingetokea siku ingefungwa.Sio kwamba mahakama pekee ndo iliyokuwa na uwezo wa kuifunga Yanga Sc?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matako yao maana ya kusimama dakika ya 50 ni nini?