Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa point yako hapa ni nini??Mpira sijabahatika leo kuangalia lakini mechi iliyopita Yanga walikataliwa goli halali kabisa na kuambiwa kuwa ni offside. Tufikie wakati tukubali tu kuwa Tanzania haina wamuzi makini kama kweli leo Yanga imepata goli ambalo ni la offside.. maana kubebwa habebwi Yanga pekee bali kila timu ikiwepo Simba wamenufaika kwa maamuzi mabovu ya waamuzi.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Uzi unaanzishwa saa kumi kasoro, kweli hamjiaminiImefikia hatua kuna watu wakiona nyuzi za Yanga wanaziogopa kama ukoma. 😀😀
Kila la kheri Timu ya Wananchi.
"DaimaMbeleNyumaMwiko.
Umefikaje huku sasa mkuu...Watu tuko busy na kombe la dunia tumepumzika kidogo na utopolo wa bongo 😆 😆 😆
Kuwasalimia si mlituita?Umefikaje huku sasa mkuu...
Tulia dad angu tukutane kweny Uzi wetu ule wa FIFAWatu tuko busy na kombe la dunia tumepumzika kidogo na utopolo wa bongo [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ndo naenda huko ngoja niwaache anibiteni mjimwaye mwaye mwaka wenu huuTulia dad angu tukutane kweny Uzi wetu ule wa FIFA
😀Mnashangilia Goli la Offside kweli ?