FT: NBC PREMIER LEAGUE: Mbeya City 3-3 Young Africans | 06/06/2023

Ngoja tuone baada ya kulishwa ubwabwa na kushiba, uto wataiachia timu ipi ibaki ligi kuu, ya Tulia au ya wajelajela.
 
Hiki kikosi ni cha kawaida mpaka basi.
 
Nasikia kuna wachezaji hasa hawa wanaocheza leo wamekosa medali ili kina Diamond, Matelephone na nanihii wapate.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…