FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

Huu mchezo ulianza vizuri lakini umeisha vibaya sana. Hamuwezi kufunga tatu dakika 35 za kwanza halafu no goal kabisa baada ya hapo. Nimeudhika😡
Walevi Wawili walikutana leo, watu wenye akili tulikuwa tunaangalia pira la sayari ya mars la Mamelodi Sundowns.
 
Huu mchezo ulianza vizuri lakini umeisha vibaya sana. Hamuwezi kufunga tatu dakika 35 za kwanza halafu no goal kabisa baada ya hapo. Nimeudhika😡
Simba kipindi cha pili wawe wanaingiza wachezaji wenye kasi kama Banda, Kibu au Sakho ili kuiamsha timu. Kipindi cha pili timu huwa inalala sana.
 
Simba ina tatizo la kukata pumzi na kukosa umakini kuanzia dakika ya 30 ya kipindi cha kwanza. Tatizo hili litawaletea shida kuweza kuwashinda Horoya FC siku chache zijazo.
Wasipojirekebisha, Naona wakipigwa kipigo walichokipata Al Ahly kwa Sundowns leo
 
Wanaojua wote wapo champions league,, hawapo loser's cup
yaani unataka kuniambia vipers ni bora kuliko pyaramid,
Simba ina tatizo la kukata pumzi na kukosa umakini kuanzia dakika ya 30 ya kipindi cha kwanza. Tatizo hili litawaletea shida kuweza kuwashinda Horoya FC siku chache zijazo.
Wasipojirekebisha, Naona wakipigwa kipigo walichokipata Al Ahly kwa Sundowns leo
na iwe hivi kama ulivyo nena, amina.
 
Tunachofanya muda huu ni kuwaonyesha tu kwamba champions league inachezwa objectively, what matters the most is 3 points no matter how u play,, tumerudi kwenye ligi tunampiga mtu na tunaupiga mwingi..wachambuzi wajifunze kuweka akiba ya maneno ..
Kumbe ni ligi kuu
 
Mchezo ni saa 16:00Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewa

View attachment 2546081View attachment 2546085

Timu zinaingia uwanjani
Mchezo unaanza
1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri
3'Goooooooooo
Jean Baleke anafunga goli kwa kwanza kwa Simba licha ya kubanwa na walinzi
7' Goooooooooo
Baleke anafunga goli la pili kwa kichwa akimalizia asisti ya Saido
25' Timu zote zinashambuliana kwa zamu
30' Zimbwe Jr anapata nafasi lakini anapiga krosi inayokosa mtu
33 Goooooooooo
Asisti ya kichwa kutoka kwa Shomari Kapombe inamfanya Baleke afunge 'hat trick' kwa kichwa

Mapumziko

Kipindi cha pili kimeanza
50' Mtibwa wanafika langoni lakini Manula anakuwa makini
70’ Kasi ya Simba imepungua, ni kama wameridhika na magoli waliyofunga
80' Simba anapata nafasi kadhaa lakini wanakosa umakini wanapokuwa langoni
90’ Zinaongezwa dakika 3

FULL TIME
Nikiwa kama mshabik wa Simba 🦁🦁🦁
Furaha yangu ni KUONA HOROYA
NA RAJA
wakichezea
Mshedede
Baleke akapige hat trick huko nje
Sija furaishwa na huu ushindi
Nilijua mtibwa hawezi dinda kwetu
Simba
Guvu
Moya
🦁🦁🦁🦁
 
Bado Simba ina matatizo, haiwezekani wakose goli zaidi kipindi cha 2
 
Nikiwa kama mshabik wa Simba 🦁🦁🦁
Furaha yangu ni KUONA HOROYA
NA RAJA
wakichezea
Mshedede
Baleke akapige hat trick huko nje
Sija furaishwa na huu ushindi
Nilijua mtibwa hawezi dinda kwetu
Simba
Guvu
Moya
🦁🦁🦁🦁
Hizi bangi huwa mnazivutaga Saa ngapi? Raja wakupige bao 3 bila kwako halafu kwao unawaambia nini?
 
Back
Top Bottom