FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

Tunachofanya muda huu ni kuwaonyesha tu kwamba champions league inachezwa objectively, what matters the most is 3 points no matter how u play,, tumerudi kwenye ligi tunampiga mtu na tunaupiga mwingi..wachambuzi wajifunze kuweka akiba ya maneno ..

Kuoga mnaoga ila mjini hamuendi [emoji38][emoji38]
 
Mimi kwa uzalendo kabisa naombea kila tiny ishinde mechi zake ligi iishe kwa haraka.
 
Kwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.

Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.

Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
 
Saidooo anapiga shuti lakini linakwemda nje ya lango

Ilikuwa ni shambulizi la hatari mno
 
Kuna makosa yanafanywa mara kwa mara na wachezaji na benchi la ufundi lakini kiuhalisia hayapaswi kufanywa kwa timu kubwa kama Simba. Too much back pass, kunyoosha mikono kama ishara ya faul na kuacha kuzuia mpira walidhani refa atapiga filimbi, kutojua kuusoma mchezo na kufanya sub zenye manufaa zaidi, kujisahau ndani ya uwanja na kuridhika haraka.
Nimemkumbuka Bruno Fernandes
 
Kwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.

Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.

Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
4-2Mzee😄😄😄😄😄
 
Kwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.

Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.

Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
Na wewe unayejua mpira huku umefwata nini?
 
Kwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.

Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.

Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
Mkuu Dr PhD wa Utopolo... Mbona tuko huku pamoja
 
Kwa mtu anayejuwa mpira SAA hizi lazima atakuwa ZBC 2 kuangalia mpira wa kisiasa mpira mwingi unavyopigwa na Mamelodi Sundowns, Al Ahaly ulimi nje, 3 kwa 2 game is on.

Endeleeni kuangalia haya matakataka yenu ya Manungu.

Simba hii mkipangwa robo fainali na Mamelodi Sundowns msipeleke timu uwanjani, wako fire kuliko Raja Casablanca.
Wewe jamaa huna akili na hiyo Phd ya kupika mandazi. Nani kakuita kwenye huu uzi?
 
Mohamed Mussa katoka kupiga shuti lakini kipa alikaa vyema
 
Back
Top Bottom