Smart AJ
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 5,564
- 5,884
Hawafai wale mbwa,siku timu ya bongo yoyote ikijichanganya, na uhakila itakula hadi 10Hao jamaa achana nao, unawafuata kwao wanakupiga 8, wanakuja kwako wanakupiga Hamsa ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawafai wale mbwa,siku timu ya bongo yoyote ikijichanganya, na uhakila itakula hadi 10Hao jamaa achana nao, unawafuata kwao wanakupiga 8, wanakuja kwako wanakupiga Hamsa ..
MmeanzaAnayepanga ratiba na kusimamia ratiba hajawatendea haki mtibwa hivi team imetoka kufiwa na mchezaji wake halafu baada ya mda mchache wanacheza mechi ngumu kama hii yaani hawapo sawa psychological hawana morali kabisa TFF wangelifikiria hilo hii mechi haipo fair.
Hivi mkuu Boban, aliye anzisha hilo neno la mikimbio ni nani?[emoji23]Hapa hatuzungumzii mikimbio. Tunazungumzia kuhusu hat trick
Hakuwa mfiwaWewe Ulimpiga ngapi huyo mfiwa
Zinasaidia nini hizo goli 10! Maana hata wafungwe goli 20, bado timu itaendelea kushika nafasi ya pili mpaka mwishoni mwa msimu.Hawa mtibwa wasipoangalia wanaweza fungwa hata kumi
Bila shaka ni Ali kamweHivi mkuu Boban, aliye anzisha hilo neno la mikimbio ni nani?[emoji23]
Tulieni sasa dozi iwaingieHakuwa mfiwa
[emoji16]Bila shaka ni Ali kamwe
Sina hakika mkuu. Nadhani ni Mzee wa Jambia OrumaHivi mkuu Boban, aliye anzisha hilo neno la mikimbio ni nani?[emoji23]
Huyu Uto apewe kipaza atangaze huu mpiraZinasaidia nini hizo goli 10! Maana hata wafungwe goli 20, bado timu itaendelea kushika nafasi ya pili mpaka mwishoni mwa msimu.
Mimi ningekuwa ndiyo kocha, ningechezesha wale wachezaji ambao hawaanzi mara kwa mara, ili wachezaji wa kikosi cha kwanza wapate muda mwingi wa kujiandaa na michezo miwili iliyobakia ya Kimataifa.
Timu yako huwa inapenda sana kukutana na timu zenye mazingira ya aina hii. Hata kipindi kile wachezaji karibia 11 wa Ruvu Shooting walikuwa mafunzoni, walipokutana; goli 7 zilihusika.Anayepanga ratiba na kusimamia ratiba hajawatendea haki mtibwa hivi team imetoka kufiwa na mchezaji wake halafu baada ya mda mchache wanacheza mechi ngumu kama hii yaani hawapo sawa psychological hawana morali kabisa TFF wangelifikiria hilo hii mechi haipo fair.
Tulia ushangilie hat trick na mvua ya magoli! Ila mwisho wa siku Bingwa wa Ligi kuu ya NBC, tayari anajulikana.Huyu Uto apewe kipaza atangaze huu mpira
Vipi na Tanzania prisons au wewe mwenyewe wakati unakula 5-0Timu yako huwa inapenda sana kukutana na timu zenye mazingira ya aina hii. Hata kipindi kile wachezaji karibia 11 wa Ruvu Shooting walikuwa mafunzoni, walipokutana; goli 7 zilihusika.
Kesha Chezea 3 : 1
Kama ni 5 tu, hata wewe pia ulizipata kwa Waarabu na pia Wacongoman.Vipi na Tanzania prisons au wewe mwenyewe wakati unakula 5-0