Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Walevi Wawili walikutana leo, watu wenye akili tulikuwa tunaangalia pira la sayari ya mars la Mamelodi Sundowns.Huu mchezo ulianza vizuri lakini umeisha vibaya sana. Hamuwezi kufunga tatu dakika 35 za kwanza halafu no goal kabisa baada ya hapo. Nimeudhikaπ‘
Ni Simba tu ndiyo anaweza kuzileta hizo Mamelodi au Al Ahly hapa Tanzania mwaka huu. Bado nasisitiza, Simba apewe heshma yake.Walevi Wawili walikutana leo, watu wenye akili tulikuwa tunaangalia pira la safari ya mars la Mamelodi Sundowns.
Maajabu haya .. kumbe ndugu zetu Utopolo mnaitamani na kuifuatilia Ligi ya Mabingwa!Walevi Wawili walikutana leo, watu wenye akili tulikuwa tunaangalia pira la safari ya mars la Mamelodi Sundowns.
Hicho ni kiherehere chenu tu, lakini hiyo mechi haiwahusu. Nyie subirini kuwaangalia Real Bamako au FC lupopo.Walevi Wawili walikutana leo, watu wenye akili tulikuwa tunaangalia pira la safari ya mars la Mamelodi Sundowns.
Simba kipindi cha pili wawe wanaingiza wachezaji wenye kasi kama Banda, Kibu au Sakho ili kuiamsha timu. Kipindi cha pili timu huwa inalala sana.Huu mchezo ulianza vizuri lakini umeisha vibaya sana. Hamuwezi kufunga tatu dakika 35 za kwanza halafu no goal kabisa baada ya hapo. Nimeudhikaπ‘
Na kuridhika ndo shida yao kubwa. Kila mchezaji anataka kufanya show upSimba kipindi cha pili wawe wanaingiza wachezaji wenye kasi kama Banda, Kibu au Sakho ili kuiamsha timu. Kipindi cha pili timu huwa inalala sana.
yaani unataka kuniambia vipers ni bora kuliko pyaramid,Wanaojua wote wapo champions league,, hawapo loser's cup
na iwe hivi kama ulivyo nena, amina.Simba ina tatizo la kukata pumzi na kukosa umakini kuanzia dakika ya 30 ya kipindi cha kwanza. Tatizo hili litawaletea shida kuweza kuwashinda Horoya FC siku chache zijazo.
Wasipojirekebisha, Naona wakipigwa kipigo walichokipata Al Ahly kwa Sundowns leo
Kumbe ni ligi kuuTunachofanya muda huu ni kuwaonyesha tu kwamba champions league inachezwa objectively, what matters the most is 3 points no matter how u play,, tumerudi kwenye ligi tunampiga mtu na tunaupiga mwingi..wachambuzi wajifunze kuweka akiba ya maneno ..
Nikiwa kama mshabik wa Simba π¦π¦π¦Mchezo ni saa 16:00Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewa
View attachment 2546081View attachment 2546085
Timu zinaingia uwanjani
Mchezo unaanza
1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri
3'Goooooooooo
Jean Baleke anafunga goli kwa kwanza kwa Simba licha ya kubanwa na walinzi
7' Goooooooooo
Baleke anafunga goli la pili kwa kichwa akimalizia asisti ya Saido
25' Timu zote zinashambuliana kwa zamu
30' Zimbwe Jr anapata nafasi lakini anapiga krosi inayokosa mtu
33 Goooooooooo
Asisti ya kichwa kutoka kwa Shomari Kapombe inamfanya Baleke afunge 'hat trick' kwa kichwa
Mapumziko
Kipindi cha pili kimeanza
50' Mtibwa wanafika langoni lakini Manula anakuwa makini
70β Kasi ya Simba imepungua, ni kama wameridhika na magoli waliyofunga
80' Simba anapata nafasi kadhaa lakini wanakosa umakini wanapokuwa langoni
90β Zinaongezwa dakika 3
FULL TIME
Huwezi kuelewa sababu sio level zenuKumbe ni ligi kuu
Lete takwimu zako wewe Kwamba ulinifunga 5 unaleta takwimu za wenzako wew vipi ebooKama ni 5 tu, hata wewe pia ulizipata kwa Waarabu na pia Wacongoman.
Na usisahau wiki chache zijazo, Taifa litaenda tena kuaibishwa kule Morocco.
Naona akili zimeanza kuwarudi.Mi nikafikiri ulikuwa unaangalia zile za kombe la losers kumbe ni CAFCL ?Walevi Wawili walikutana leo, watu wenye akili tulikuwa tunaangalia pira la sayari ya mars la Mamelodi Sundowns.
Hizi bangi huwa mnazivutaga Saa ngapi? Raja wakupige bao 3 bila kwako halafu kwao unawaambia nini?Nikiwa kama mshabik wa Simba π¦π¦π¦
Furaha yangu ni KUONA HOROYA
NA RAJA
wakichezea
Mshedede
Baleke akapige hat trick huko nje
Sija furaishwa na huu ushindi
Nilijua mtibwa hawezi dinda kwetu
Simba
Guvu
Moya
π¦π¦π¦π¦
Level za MtibwaHuwezi kuelewa sababu sio level zenu
Nilitegemea nyinyi ma Dr. Dr Matola PhDHizi bangi huwa mnazivutaga Saa ngapi? Raja wakupige bao 3 bila kwako halafu kwao unawaambia nini?
Yaniiii....
Udkatari wa kina doc msukuma wanaendeshwa na mihemukoNilitegemea nyinyi ma Dr. Dr Matola PhD
Muwe mnasoma Line to line Ili ku elewa content ya MTU
So sad πππ Dr. wewe π’π’ unatofauti gan na DR.NYEGE
PHD
ππππ€£π€£π€£