Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Dakika 90 na Singida goli 0.Kule tulifuata ngao na tumebeba, nyie mliofunga magoli mengi mmerudi na nini?
Dakika 90 na Yanga goli 0.
Bado unaisifia timu kisayansi.
Hapa nakosoa sio ki ushabiki bali kiuhalisia.
Simba pumzi bado ndogo kiushindani kocha wa mazoezi alifanyie kazi.
Kiushabiki nashabikia Simba Sports Club.