mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Mwaka wenuSakhoooooooooo Gooooooal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka wenuSakhoooooooooo Gooooooal
Hivi ile sauti ya Privaaa ndo ilivyo?Sema marefa wanaochezesha mechi za simba huwa wazuri bana ngoja uone marefa wa UTO sura kama pua za privadhino
Sisi tunatambaa hata tukila dagaa hatuna habareeeeSimba tutembee kifua mbele .. pamoja na kukosa makombe yote tuna mengi mazuri ya kujivunia msimu huu. Ni timu pekee iliyofika robo fainali club bingwa Africa kwenye hapa Africa Mashariki, ni timu yenye idadi kubwa zaidi ya magoli na hat trick nyingi kuliko timu zote kwenye ligi ya ndani, ni timu iliyofunga magoli mengi makundi kuliko timu zote Africa kwenye mechi moja, ni timu pekee iliyoifunga Utopolo ikiwa imevaa jezi nyeusi🔥, nk..
haya ndio matokeo ya leo nafikiringuvu moya
2:0
Acha umbea kuna kibaya kipi hapo wanaume wa dar mnashida sanaModerator Paw Cookie JamiiForums
Angalieni maudhui yake tangu mwanzo wa uzi kama mtaridhishwa na hizi picha kuwa sawa basi tutaendelea kuziona.
Yah sure ukilielewa hili hakuna haja ya kuhama hama kama mafwalaaKuimba kupokezana mana miaka minne yanga walikuwa wanahangaika na kina molinga
Hyo s nyimbo ya mbosso kwahyo ndo umeona ipo knyume na maadili au umekua TCRA wa jfModerator Paw Cookie JamiiForums
Angalieni maudhui yake tangu mwanzo wa uzi kama mtaridhishwa na hizi picha kuwa sawa basi tutaendelea kuziona.
Hongereni kwa ushindi wa kishindo K 😁Yah sure ukilielewa hili hakuna haja ya kuhama hama kama mafwalaa
Hahaha wananchi mna manenoHizi ndio levo zenu sasa wana thimba😁
apishe usajili mpyamikataba yao ikiisha wataondoka
Nimekumis mtani Eve...Hongereni kwa ushindi wa kishindo K 😁
Hivi mabdiliko ya dkk ya 88 huwa mwlm anawaza niniMabadiliko 88'
Bocco na Banda wanaingia
Chama na Kibu wanatoka