Mtu_ bakize
Senior Member
- Jul 8, 2018
- 157
- 214
Lazima waumie. Bado gap la points 4 tu. Kudadadeki.Chuma cha 3 huko[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
UTO wanaumia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BAHLABANE BA NTWA
Yani kagame hata hakana mzuka hapa ni kama unashangalia ndani ya chumba chenye mwangwiSakhoooooooooo Gooooooal
Hii ilikuwa ni NBC haikuwa KagameYani kagame hata hakana mzuka hapa ni kama unashangalia ndani ya chumba chenye mwangwi
Ka - game hakana mzuka sio kagameHii ilikuwa ni NBC haikuwa Kagame View attachment 2619642
Ili wawakizie yanga?Mbeya City tunawadai. Hii mechi Simba imeshinda ili mbaki ligi kuu.