Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
Tafta Kwanza points 8 ndio tuanze ligi upya
Tayari wameivuta pamoja na wale walowatuma!Hakika mkuu. Hawa ukiwachekea wana nidhamu mbovu sana.
Hapa kila mtu anatakiwa kupambana na mechi zake. Sisi hatutafuti pointi 8 na kuanza ligi upya. Tunataka kushinda mechi zilizopo mengine yatajulikana mbele ya safari.Tafta Kwanza points 8 ndio tuanze ligi upya
Tatizo baba yao hajawapokea. Labda kwa vile hawajaja na ndege. Yeye kazoea kupokea AirportTayari wameivuta pamoja na wale walowatuma!
😄😄😄 PoleniUkwelu usemwe sasa hivi mnategemea
1)Kununua mechi na wachezaji
2)Uchawi...
3)Kupata msaada toka kwa waamuzi either kwa kuwapa pesa ama kwa mapenzi ya mwamuzi husika kwa simba
Ngoja kwanza waendelee kuchukua ka point kamoja kamoja kama wanaokota shangaCc. Proved OKW BOBAN SUNZU Scars ntazana ntazana Shadeeya Numbisa ukikaidi utapigwa2 Pettymagambo
Wameshaanza kupandisha presha. Badala ya wao kushinda wanaombea wenzao wafungwe ili wao wawe mabingwa😂🤣☝️
Bingwa anapatikana kwa kushinda sio kulilia wenzio washindweView attachment 2221034
Sisi pia tunazihitaji hizo pointsNgoja kwanza waendelee kuchukua ka point kamoja kamoja kama wanaokota shanga
Jumapili wanakutana na mbeya kwanza ambao ndio wa mwisho kwenye msimamo
Na hiyo ni moja ya mechi muhimu kwa mbeya kwanza ambayo ipo kwenye mahesabu yao kwasababu point tatu zinawatosha wao kupanda nafasi tatu xa juu.
Sidhani kama itakuwa tayari kupokea bahasha kwa hali waliyokuwa nayo
Usitumie wingiSisi pia tunazihitaji hizo points
Ulikua unasema????Simba 0 Kagera 1.....… Na uhakika wa 100%
Foot work pande moja tu hapo...kwanini mnashindwa kusema ukweli?Kwa Kweli Kiwango Kizuri cha Footwork hapa kinaonekana kwa Pande zote mbili Sio Lile pira Papatu Papatu la Utopolo dhidi ya prison .!
Hata mechi hii ilikua ngumuHalafu huyu Kagera kwanini asishule daraja tu... maana hata kumfuata huko kwao kucheza nae ni kama unaenda Afrika Magharibi kwa Asec.
Halafu akiwa kwao anakuwa mgumu kweli