3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Endeleeni kupigania ubingwa simba anahitaji kushinda mechi zake tuNdoto za ubingwa?
Ndoto mnazo nyie mnaowaza visivyowezekana
Ok, timu ya kumfunga Yanga haipo katika hizo mechi saba zilizobaki
Yani imagine Yanga ashinde mechi tatu tuu, na kutoa sare nne, then bado tutabato na nyie kwenye goal difference, kama mkishinda zote
mechi saba
Hamuoni kwamba mnaota tuu kuanza kutegemea hili na hili litokee, then hili tena litokee
It won't happen!