blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Mpuguzage kelele,mikia. Mnatapika mnalamba mnatapika mnalamba. NonsenseBocco apewe muda ile ni asset
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuguzage kelele,mikia. Mnatapika mnalamba mnatapika mnalamba. NonsenseBocco apewe muda ile ni asset
Taqo wewe.Simba 0 Kagera 1.....… Na uhakika wa 100%
Tulia we ng'ombe wa mayeleMpuguzage kelele,mikia. Mnatapika mnalamba mnatapika mnalamba. Nonsense
Mmekariri[emoji3].Lazima awanyooshe tena leo.
Ukwelu usemwe sasa hivi mnategemeapuliza filimbi au huna pumzi?
Ungekuwa karibu jamaa angepigana😂😂🤣
Wanaemsifu mwenyewe ana goal 12 tu, kwakua tumerudi kwenye ligi dogo akomae tu ili tufukie mashimo.13' Kibu Goooooooooooooaaal gooal
Kibu Denis anaipatia Simba SC bao la kwanza | Simba SC 1-0 Kagera Sugar
Unateseka ukiwa wapi ndugu.Ukwelu usemwe sasa hivi mnategemea
1)Kununua mechi na wachezaji
2)Uchawi...
3)Kupata msaada toka kwa waamuzi either kwa kuwapa pesa ama kwa mapenzi ya mwamuzi husika kwa simba
Yanga nasikia wanaitwa Wachawi United. Mshatoa ile hirizi pale Lupaso?Ukwelu usemwe sasa hivi mnategemea
1)Kununua mechi na wachezaji
2)Uchawi...
3)Kupata msaada toka kwa waamuzi either kwa kuwapa pesa ama kwa mapenzi ya mwamuzi husika kwa simba
Tunafanya mazoezi ya Champions Ligi msimu ujao.Vyura ni bora wangeongeza maombi Simba akabaki CAF angalau wangeepukana na hili balaa.
ona sasa Simba nguvu zote zimerudi kwenye ligi ya NBC kaanza kusambaza kipigo kwa mmoja baada ya mmoja. mtaa kwa mtaa.
Na mkeMayele angefunga goli kama hilo la Bocco utopolo wangempa ng'ombe wanne
Kafunga goli zuri na anajiweka kwenye nafasi vizuri lakini naomba tu aende, imetosha sasa. Umri umeenda na hawezi tena mapambano makali.Bocco apewe muda ile ni asset