Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Saido ameshaweka?!!!
Mmh huyu jamaa anamkosesha furaha Mayele wetu....
Mmh huyu jamaa anamkosesha furaha Mayele wetu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niwachee kwan bhanaaa.waooo njoo nikumbate
[emoji7]Hahahaaa! Hatimaye mumekuja. [emoji23][emoji23]
Go go Mayele. Kiatu chako kipo. Teh teh
lakini naona wamepiga goli la 3 apoPame “pwaya” eti
nini kimetokea (in mwamposa's voice)Saidooooooooooooooooooooo!!!!!!
NaPita tu, I mean no malice to nobodyNipo son ,kumtizama Saido anavyojaribu kutufuta chozi la huzuni japo dua naziona kugonga mwamba
Unasema????Saido bora akae benchi [emoji1][emoji1][emoji1] Hamna kitu pale analazimisha
NtibanzokizaaaHilo la tatu kaweka nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nini kimetokea (in mwamposa's voice)
Mzee wa Bujumburaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]La tatu Katia nani!?
Unawaonea, Vipaumbele vya makocha si kumfanya saido awe mfungaji bora. Ni ushindi. Kama ushindi utakuja kupitia saido sawa.Saido akikosa kuchukua kiatu wakulaumiwa ni makocha kwa kudharau mechi