FT: NBC PREMIER LEAGUE: Simba SC 3-1 Coastal Union | 09/06/2023

Naona wanamshambulia Mzize huko kwa Mayele kukosa kiatu sijui amefanya nini
 
Dogo naomba report...
Kiatu tunacho au hatuna?
Dada mambo ni mengiii hata hatujui badoo.
Kuna wanao sema, yana angaliwa mabao ya penalties, na wengine assist. Sasa wachaa tusubirii tuonee

Ila nilionaa wangetoa wapate wotee tyuuh, kuepushaa kero na lawamaa.
 
Dada mambo ni mengiii hata hatujui badoo.
Kuna wanao sema, yana angaliwa mabao ya penalties, na wengine assist. Sasa wachaa tusubirii tuonee

Ila nilionaa wangetoa wapate wotee tyuuh, kuepushaa kero na lawamaa.
Doh!!!Mambo ni mengi...
Wacha tuone..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…