BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Eti..utoe magoli ya penalty..wapi na wapi..si yasingekubaliwa tangu siku yanafungwaMsimamo wa wafungaji ni huu.
Sasa ya kupitwa 2 yanatoka wapii??View attachment 2651396
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti..utoe magoli ya penalty..wapi na wapi..si yasingekubaliwa tangu siku yanafungwaMsimamo wa wafungaji ni huu.
Sasa ya kupitwa 2 yanatoka wapii??View attachment 2651396
Basi sawaaa..........goal ni goal tu bila kujali ni penalty, faul au free kick maana zote ni sehemu ya mchezo
Wa assist vinara wa kazi Gani weuweeeeeee.... Watafute kanywie chai. Hatuna haja ya kudiskas mbuzi kama kina chamaz na belekeLeteni na vinara wa assist
Ila Maisha yanaenda mbio sana
Leo hii Simba wanashangilia mfungaji bora ,yaani the whole season contented 4 different competitions and then they had nothing
Kwa kweli ukicheza kidogo unajikuta umezeeka na hali huna hata kibanda Cha kuweka ubavu
Tupambaneni na maisha maana yanaenda kasi balaa
Mmepigwa kwny mshono..manywele wenu hana bahatiWa assist vinara wa kazi Gani weuweeeeeee.... Watafute kanywie chai. Hatuna haja ya kudiskas mbuzi kama kina chamaz na beleke
Bora sisi
Tulichukua miaka 4 mfululizo na mfungaji Bora alikuwa anatoka simba
Ubingwa bila ufungaji bora ni sawa sahani tu
Mmepigwa kwny mshono..manywele wenu hana bahati
Ikibidi zipigwe kavu kavu.hapa kutatokea kizungumkuti