OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Uto unasema nini mbele ya Azam na Tabora?Huyo golikipa wa Azam fala sana huwa anajifanya kupoteza muda anapocheza na babalao Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uto unasema nini mbele ya Azam na Tabora?Huyo golikipa wa Azam fala sana huwa anajifanya kupoteza muda anapocheza na babalao Yanga
TFF iliwasaidia kwa kutowaruhusu kuwatumia wachezaji wao wa kigeni dhidi ya SimbaMliwafumania wakati hawajajipanga
Kawaulize amphibians wana majibu ya swali lako.Hawa tabora wanajiona ni akina nani?
amphibians ndo akina nani? Nimeuliza ktk lugha nzuri wewe unajibu utumbo. Nakuachaje kwa mfano?Kawaulize amphibians wana majibu ya swali lako.
Walishenyentwa.Ligogo lya hakaya likashenyentelagwa!Azam wamejitahidi. Uto muda kama huu walishakula 2 za maana
Utoamphibians ndo akina nani?
ubongo wako hauna akili. Vipi kuhusu timu lako kugongwa mala 4mtawalia huku mkibugia magoli 9~2 ?
Hauna akili mwenyeweubongo wako hauna akili. Vipi kuhusu timu lako kugongwa mala 4mtawalia huku mkibugia magoli 9~2 ?