FT: NBC PREMIER LEAGUE: Tanzania Prisons 0-2 Young Africans | 09/06/2023

Na kweli ni mapimbi mnashindwa kuchua ubingwa mnakomaa na kiatu
Mkaweka na kikosi cha fainali aisee kama hujui hujui tu.

Kipindi cha kwanza nilichoangakia Mayele kapata nafasi 10, kafunga 1.

Saido hajapata nafasi lakini kafunga.

Hiyo inatoa tafsiri gani?

Ukicheza na washuka daraja lazima ung'ae.

Ili Mayele awe mfungaji bora inatakiwa kwenye hiyo kigi Saido asiwepo
 
Kila timu ina malengo yake nyie yakwenu kiatu sisi ubingwa tukutane next season
 
Sasa ni wakati wa kuangalia Mabingwa wa Ligi kuu nchini wakikabidhiwa Kombe lao. Naomba mashabiki msiohusika, mtupishe tafadhali. Ni kwa muda tu mfupi.

Ni wakati wenu huu na nyinyi kwenda kusherehekea na mchezaji wenu aliyebahatika kufungana magoli na mchezaji nguli wa Yanga, ndugu Fiston Kalala Mayele.
 
Mayele ana nafasi ya kupata tuzo ya mchezaji bora wa NBC PL 2013 ikiwa TFF haitafanya figisu kama hizi mechi 2 zilizompatia Saidoo ufungaji bora

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Saidoo kahusika ktk magoli mengi ikilinganishwa na Mayele.

Pia , saido kacheza mechi chache magoli sawa na mayele.
Mayele mechi nyingi magoli sawa saido.
Anyway , sijajua tff wao Wana vigezo gani
 
Mahmoud Bin Zuber anamwambia Saido wewe ndio mwamba. Maana yake mwamba kuliko bwana yule
Saido kaipatia Makolokolo kombe gani?

Mayele miaka 2023 & 2023 kaipatia Yanga FC kombe la NBC PL, FA na bado 2023 kaipeleka fainali za FA, hata akili za kuvukia barabara hamna ninyi Mbumbumbu?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Aliyelingana na Mayele tena kwa bao za kutengeneza.😅
 

mmehamia kweny kiatu hahahhaha [emoji23] Muitwe ikulu sasa kupongezwa mpewe raba za kkoo
 
Mbona ichi Cha mayele we kolo,Sheria unazijua ?
Inategemeana na sheria, CAF wanatoa kwa wote.

Ligi yetu hii sijui taratibu zake kama wataangalia goal involvement au assist au pengine nao watato kwa wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…