Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Hatimae mbuzi kauma mtu....basi sherehe imetosha tuangalie mambo ya muhimu zaidi ya kulitea maendeleo taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jenereta bovu usingizi umegoma nimemuacha kitambaa cheupe anakesha leo,hii yanga itaua watuScars wewe jenerata bovu upo.....
Mambo muhimu kwa taifa,1 yanga bingwa,2 yanga bingwa,3 yanga bingwaHatimae mbuzi kauma mtu....basi sherehe imetosha tuangalie mambo ya muhimu zaidi ya kulitea maendeleo taifa
Wao ndo wamekata moto [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]"Tunasubiri mzunguko wa pili Yanga ikate moto"
Lisije tu kunywa sumu......Jenereta bovu usingizi umegoma nimemuacha kitambaa cheupe anakesha leo,hii yanga itaua watu
Nusu fainali ipi tena?Tulisajili kikosi kizuri,
Tumefanikiwa kuitia kwapani ngao ya jamii
Tumefanikiwa kutinga nusu fainali ASFC
Tunakaribia kubeba ubingwa wa ligi kuu, hata Kama siyo Leo lakini tuna asilimia nyingi
Tumeweka record ya kutofungwa kwenye ligi.
Nini Tena kitatushangaza Wana jangwani , Kila kitu tunakiona ni Cha kawaida
Wakawaotee bibi zao tunapiga zote tulia uoneHii Coastal Union inaogopesha! Katika mechi tatu, kuna moja watatuotea tu. Full vipaji!
Haaaaahaaaaa we fala umenchekesha sana yaani umemkumbusha kwamba muda wa tofali bado asiharakishe mambo[emoji23][emoji23][emoji28]matofali bado kwanza tunaweka bicon,we vipi.