Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Wauza sumu wapigwe marufuku kuuza mitaani maana wengi watacommit suicideFicheni kamba na baadhi ya sumu tusije kuwakosa watani zetu [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wauza sumu wapigwe marufuku kuuza mitaani maana wengi watacommit suicideFicheni kamba na baadhi ya sumu tusije kuwakosa watani zetu [emoji23]
Mpira wa kisasa hauhitaji mfungaji mmoja,na hii formation ndiyo anayotumia Pep kwa wale watoto wa mjini ManchesterYanga haina forward ila ina wafungaji
Acha waimbe tu.......wao wenyewe wanajua Yanga ni boraSasa hivi ule wimbo wao wa msimu uliopota "mnanunua mechi .........." wataanza kuimba sasa hivi.
Mmeanza ngonjera zenu za miaka yote😏😏😏😏😏😏 bahasha fc
😀😀😀Goli la Yao Yao tumebebwa kabisaYanga wanabebwa......
Yanga wananunua mechi.....
Yanga wanakutana na timu dhaifu....
Yanga wanabahatisha......
Yanga hawatafika mbali kimataifa....
Ndio chorus pekee tuliyobaki nayo Simba kwa sasa.
Yaani kila tunayekutana naye mnasema mbovu?Hongera Yanga kwa kurusha bomu mochwari
Ukweli humuweka mtu huruUshabiki pembeni, UTOPOLO ni wa moto.
Sisi Robertinho kila siku yupo bize na BoccoDuh!... Utopolo kwa Sasa ni wa-moto balaa, wapo vizuri sana
Kupingana na ukweli ni kujitafutia maradhi ya moyo mkuu.Wewe ndo unajua maana ya ushabiki, salute
[emoji23][emoji23][emoji23]Wauza sumu wapigwe marufuku kuuza mitaani maana wengi watacommit suicide