Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hee huu uzi wa lini?Ratiba imebadilishwa mechi inachezwa saa 12 jioniView attachment 2648025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee huu uzi wa lini?Ratiba imebadilishwa mechi inachezwa saa 12 jioniView attachment 2648025
Usitushirikishe kwenye huo wehu wako.Tunajifariji tu ila huu msimu tumeonekana wehu tu
Yani ndo naona huwezi amini rafiki yangu...sijaona tag sijui kwanini
Post...nimeona kumbe ni wa leo...huwezi amini sijauonaUzi ukimaanisha jezi au uzi kwa maana ya post?
Sisi tena...Unatesekaaaaaaa poleeeeeer [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh hii mechi sijaiona..na sijaona tags mbona kule...aiseeeeee what a match...thanx dia
Kumbe lengo lilikuwa ni medali?Hapana, gongo wazi lengo lilikua kuvishwa medali. Shanga watavaa makolo, maana hawana cha kuvaa!
Sasa Tshs 15 naipata wapi au nikupe Tshs 50 uniunge 45 gb?Tigo Postpaid Bando za bei nafuu sana kwa Tsh 15 unapata Gb 15 mwezi mzima , karibu Dm kwa maelezo zaidi.
Na kombe chukueniiiiNTIBAZONKIZA ANAWASILIMIA UTO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KIATU KILE MSIMBAZI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Cha kombe la loserslakini tayari ana chakimataifa mkononi
Kwani hizo 16 kwa mayele zinamfaa nini?hazina manufaa yoyote
Kumbuka anacheza na prison?!!usisahau huwa wanakaba hadi kivuliMatch inayofataaaa, Saidoooo afunge chwaaaapppp [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mayelee match inayofata lazima achezeeee
Atarudiiii tyuuh.
Hiyo inaitwa agenda shiftingRaha ya kuishi bongo
Habari ya mjini saizi sio medali na kuitwa ikulu kulishwa ubwabwa.
Habari ya mjini ni Saido kupiga goli 5 kwenye mechi moja na akiwa na deni la goli moja kutoka kwa mpinzani wake.
Mkuu unaonekana umeumia sana na tukio lililotukia jioni ya leo!!pole lakini ndo ukubwa huo.[emoji81][emoji81]makolo bhana .saivi ubingwa wetu anao said